HII NDIO MICHANGO ALIYOCHANGIA KATIBU MWENEZI MKOA WA NJOMBE WILAYANI LUDEWA KATIKA HAFLA YA KUMUAGA MKURUGENZI NA KUMKARIBISHA MKURUGENZI MPYA.
![]() |
| Katibu mwenezi wa CCM Mkoa wa Njombe Erasto Ngole akimkabidhi kitita cha fedha aliyekuwa mkurugenzi wa Ludewa Lubigija |
1.Mchango wa hafla hyo shillingi 400,000/=
2.UVCCM Ludewa kwaajili ya kufanikisha baraza Shillingi 200,000/=.
3.Diwani mlangali amepokea shillingi 300,000/= kwaajili ya kupaka rangi shule ya msingi mlangali ndani.
4.Amemchangia mafuta mkurugenzi anayeondoka shillingi 100,000/= kwaajili ya Safari.
Shukrani na pongezi kwake.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni