Dstv Tanzania

M/KITI UVCCM TAIFA Cde-KHERI JAMES AHUDHURIA UTIAJI SAINI UJENZI WA MELI MPYA ZIWA VICTORIA


Mwenyekiti wa Umoja wa  Vijana wa CCM (UVCCM)  Taifa Comrade Kheri James (MCC)  jana tarehe 03/9/2018 alihudhuria Shughuli ya Utiaji saini wa Mkataba wa Ujenzi wa Meli mpya pamoja na ukarabati wa Meli za Mv Victoria na Mv Butiama katika ziwa Victoria.

Aidha Mwenyekiti Kheri James Amempongea Mh Raisi Dkt John Pombe Joseph Magufuli kwa kazi nzuri,kubwa na Juhudi zake za Kizalendo na Dhati kabisa katika kuhaikisha anatekeleza ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI na kuwaletea watanzania Maendeleo Kupitia Serekali ya awamu ya tano
 UMOJA WA VIJANA Utaendelea kumuunga mkono Mh Rais Dkt JOHN POMBE MAGUFULI na Kusema mazuri yote yanayoendelea kufanywa na Serekali ya awamu ya Tano. 

#TukutaneKazini

Imetolewa na:
Ndugu Hassan Bomboko
Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi

Hakuna maoni: