Dstv Tanzania

HAWA NDIO WATAOIWAKILISHA UVCCM TAMASHA LA VIJANA NCHINI CHIN,M/KITI KHERI JAMES AKUTANA NA KUZUNGUMZA NAO

Ofisi Ndogo za Makao Makuu UVCCM Upanga Dar es Salaam

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama  Cha Mapinduzi Comred Kheri  James (MCC)  amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Viongozi na Makada wa CCM watakao Wakilisha UVCCM katika Tamasha la Tatu la Vijana wa ASIA na AFRIKA litakalo fanyika Beijing nchini China
 katika Safari hiyo  Viongozi na Makada hao wa CCM  watapata wasaa wa Kushiriki Makongamano makubwa mawili,Kongamano la Uongozi na Mafunzo pamoja na Kongamano la Belt &Road youth Development Forum


#TukutaneKazini

Hakuna maoni: