Dstv Tanzania

KATIBU HAMASA UVCCM TAIFA BOMBOKO AZUNGUMZA NA MSANII BEKA IBROZAMA,WAMEZUNGUMZA KUHUSU UKUAJI WA SANAA YA MUZIKI NCHINI TANZANIA

Mkuu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi Comred Hassan Bomboko amekutana na Kufanya mazungumzo na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya (Bongo Fleva)  Beka Ibrozama leo Ofisi ndogo za Makao Makuu UVCCM Upanga Dar Es Salaam.
"Vipaji vyetu, Maisha yetu"
Ndugu Bomboko na Beka Ibrozama wamezungumza kuhusu ukuaji wa sanaa ya muziki nchini na kwa jinsi gani UVCCM ni tegemeo la Vijana wengi wenye vipaji mbalimbali wakiwemo wana muziki.

Hakuna maoni: