Dstv Tanzania

KATIBU WA UWT MKOA WA DSM GRACE HAULE AZINDUA WIKI YA UMOJA WA WANAWAKE WILAYANI KIGAMBONI





Pichani ni katibu wa UWT Mkoa wa DSM


Uzinduzi wa  wiki ya umoja wa wanawake  Mkoa wa DSM, UWT iliyozinduliwa rasmi leo katika  Wilaya ya Kigamboni  Mkoa wa DSM.

Imezinduliwa na katibu wa UWT  Mkoa wa DSM Ndg, Grace Haule kwa kufanya usafi wa Mazingira  katika zahanati ya Buyungu amabayo ni mali ya Halmashauri ya Kigamboni, akifuatiwa na wajumbe wa kamati ya utekelezaji Mkoa wa DSM.

Hatimaye walitoa zawadi mbalimbali kwa wagonjwa na wauguzi,  katika zoezi la kutoa zawadi hizo wameongozwa na Mganga kuu wa Wilaya hiyo na baadae kufuatiwa na Mkutano















Hakuna maoni: