Dstv Tanzania

WANA CCM MKOA WA NJOMBE WANATOA POLE KWA WAHANGA WA AJARI YA MV NYERERE

Pichani ni katibu wa Siasa na ueuenezi Mkoa wa Njombe Erasto Ngole
Kwa niaba ya  wana CCM Mkoa wa Njombe, wanaungana na watanzania wote kutoa pole kwa wahanga wa ajari ya kivuko cha MV Nyerere huko ukerewe.

Tunasikika kwa kupoteza ndugu, marafiki, jamaa, wataalamu na nguvu kazi ya nchi yetu.

Kazi ya bwana haina makosa na tunawaombea huko waendako

Pia tunawaombea majeruhi wapone kwa haraka kadri Mungu atakavyoona inafaa.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe, Amina


Na Erasto Kidzumbe
0753580894
















Hakuna maoni: