Dstv Tanzania

NAIBU KATIBU MKUU WA CCM TANZANIA BARA NDG. RODRICK MPOGOLO AKUTANA NA WAZEE WA WILAYA YA LIWALE.

Pichani ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara 
Ndg. Rodrick Mpogolo


Ikiwa ni siku ya pili tangu alipoingia Wilaya ya Liwale, Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Tanzania Bara Ndg. Rodrick Mpogolo amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali ikiwemo Mashina, Matawi na Kata ya Liwale Mjini.

Mazungumzo hayo yamefanyika leo tarehe 03/10/2018 kwenye Ukumbi wa CCM Wilaya ya Liwale ambapo pamoja na mambo mengine mazungumzo hayo yanalenga kukiimarisha Chama kuanzia ngazi ya Mashina kwani wanachama wengi wapo huko.
.
Wananchi wa Liwale watapiga kura tarehe 13/10/2018 amewaomba wananchi na wanachama kwa ujumla kumchagua  Ndg. Zuber Mohamed Kuchaula ambaye ni mgombea toka CCM kwani ndiyo kiongozi atakaye waletea  maendeleo na kutatua kero mbalimbali wanazokabiliana nazo wananchi wa Liwale.
Na Erasto Kidzumbe
0753580894









Hakuna maoni: