VIONGOZI WA CCM MKOA WA NJOMBE WAKIFANYA MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA DIWANI KATA YA MJI MWEMA MAKAMBAKO BAADA YA DIWANI HUYO ALIYEKUWA WA CHADEMA KUJIVUA

Nolasco
alijivua udiwani miezi michache iliyopita na kujiunga na CCM, na
kuahidi kufanya kazi pamoja na viongozi wa CCM na wananchi ili kuhakikisha Ilani ya CCM inatekelezwa kwa asilimia mia moja.
Na Erasto Kidzumbe
0753580894

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni